Zawadi na tuzo zimetolewa kwa timu zilizofanya vizuri na wachezaji waliong’ara msimu wa ligi kuu ya Vodacom 2013/2014 na kukabidhiwa zawadi kwa thamani ya pesa na vikombe leo na mdhamini wa ligi hiyo ambae ni Vodacom Tanzania....>>>>>>
Kwenye usiku huu Vodacom Tanzania imetoa jumla ya milioni mia mbili sitini na mbili (262,000,000) kwa washindi wote ligi kuu.
Kocha bora msimu wa 2013/2014 ni Juma Mwambusi wa Mbeya City FC,
golkipa bora msimu wa mwaka 2013/2014 ni Hussein Sharifu wa Mtibwa Sugar anapata zawadi ya Tsh 5,200,000 na tuzo.
Mchezaji bora msimu wa mwaka 2013/2014 ni Kipre Tchetche wa @azamfc anapata Tsh 5.2M,
mfungaji bora msimu wa mwaka 2013/2014 ni Amisi Tambwe wa @SimbaSC36
timu yenye nidhamu msimu wa mwaka 2013/2014 ni Yanga ambayo imezawadiwa Tsh 16M.
About nellychazzy
I Run And Own Nellychazy.blogspot.com.
Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting.
Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
0 comments:
Post a Comment