Diamond akiwa All Star Club Elizabeth, New Jersey Diamond, licha ya show kuchelewa kuanza, mashabiki wake walishikwa na jazba wakitaka aendelee lakini ikashindikana kutokana na muda wa kufunga club kufika...>>>>
Mashabiki wa Diamond wakipagawa huku wengine wakipata taswira za hapa na pale. Picha na MichuziBlog.
Shabiki akidatishwa na moja ya wimbo wa Diamond na kushindwa kujizuia kupanda jukwaani.
Diamond, mwanamuziki wa kizazi kipya anayekimbiza vibaya mno kwenye anga za Bongo Flava akipagawisha mashabiki wake New Jersey nchini Marekani.
Diamond na wacheza show wake wakijaribu kukata kiu ya mashabiki wake wa pwani ya mashariki ya New Jersey, Marekani.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment