Imekuwa ni kawaida kwa wazazi au watu wazima kuwabusu watoto sehemu za midomo.Watoto ufurahi sana wakati wakibusiwa maana hawajui nini kinaendelea.watoto wadogo utabasamu na kucheka wakati wakibusiwa na mama au baba.
Wazazi wengi uwabusu watoto wao kama ishara ya upendo huku wengi wakiwabusu watoto wao juu ya mdomo kidogo.
Hata hivyo watu wengine hakubaliani na hicho kitendo maana wanasema ni usumbufu kwa watoto.
Baadhi ya watu huwa hawapendi watoto wao wabusiwe na watu wengine kama siyo bibi,babu,ndugu au mwanafamilia.
Inasemekana kuwa busu za namna hizo si nzuri kwa watoto maana zinaweza kumsababishia mtoto magonjwa kama magonjwa ya kifua kikuu au magonjwa yoyote ya kuenezwa.
0 comments:
Post a Comment