Mtoto wa miezi kumi akutwa na uzito unaokaribia kilo 19 najua huwezi kuamini lakini amekuwa ni mmoja wa watoto wenye uzito mkubwa duniani ukilinganisha na umri wake.
Aliya anaishi katika kijiji cha Jharkhand nchini India, mtoto huyo alianza kuongezeka uzito baada ya kuzaliwa na hakuna mtu hata mmoja aliyetambua ni kwanini mtoto huyo anaongezeka uzito.
Na kwasasa ana uzito ambao ni kama wa mtoto wa miaka sita na anakula mara tatu kila siku .
Maisha ya mtoto huyu yako hatarini kutokana na unene huo, wazazi wake wamekuwa wakijitahidi kutafuta pesa za kumpeleka kwenye matibabu lakini wamekosa.
0 comments:
Post a Comment