HUU NDO USAFIRI WA MWANZA KWA SASA, NI BAADA YA MGOMO WA MADEREVA DALADALA... NA ALICHOZUNGUMZIA MKUU WA {W} YA NYAMAGANA.


HUU USAFIRI AMBAO LEO UMECHUKUA NAFASI JIJINI MWANZA BAADA YA DALADALA KUGOMA..............................>>>



BORA KUFIKA 



MKUU WA (W) NYAMAGANA BARAKA KONISAGA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI, MDA MFUPI BAADA YA KUKUTANA NA VIONGOZI MBALI MBALI WA SERIKALI, MADEREVA, NA WADAU WOTE WA USAFIRISHAKI JUU YA MGOMO WA DALADALA JIJINI MWANZA.

ZAIDI KIKAO KIMETOA WITO KWA MADEREVA KUSITISHA MGOMO MARA MOJA, AMBAPO AMESEMA KUWA AMEWAAGIZA WAHUSIKA WA JAMBO HILI KUFUATILIA SUALA HILI MARA MOJA IKIWA NI PAMOJA NA KUJUA NINI MALALAMIKO YA MADEREVA ILI YASHUGHULIKIWE HARAKA IWEZEKANAVYO

Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks