yule muwaji wa zaidi ya watu 9 wilayani Tarime azikwa na halmashauri ya wilaya ya tarime...!!!!!



muwaji aliyekuwa akifanya mauwaji wilayani tarime takribani ya watu 9, halimashauri ya wilaya ya tarime imeamua kumzika hii ni baada ya ndugu na jamaa zake kutokuonekana kuuchukua mwili wa marehemu, toka alipofariki dunia.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks