Jarida la Forbes la marekani limeitaja klabu ya Real Madrid kuwa na thamani ya €3.3 billion, huku klabu ya Manchester United ikishika nafasi ya pili ikiwa na thamani ya €3.16 billion.
Kumi 10 bora ya vilabu tajiri duniani imetawaliwa na vilabu kutoka Premier League, huku vilabu tajiri vya Ufaransa PSG na AS Monaco vikiwa havitajwa kwenye listi hiyo.....>>>>
FORBES’ TOP 10 RICHEST CLUBS:
1) Real Madrid: €3.3 billion
2) Manchester United: €3.16 billion
3) FC Barcelona: €2.6 billion
4) Arsenal: €1.32 billion
5) FC Bayern Munich: €1.3 billion
6) AC Milan: €940 million
7) Chelsea FC: €900 million
8) Juventus: €690 million
9) Manchester City: €680 million
10) Liverpool FC: €650 million
0 comments:
Post a Comment