vilabu vilivyoongoza kutoa wachezaji wengi kombe la dunia hivi hapa

                  fifa_world_cup_2014_wallpaper1
Homa ya kombe la dunia inazidi kupanda zikiwa zimebaki takribani wiki zipatazo nne kabla ya michuano hiyo haijaanza kutimua vumbi kwenye viwanja tofauti nchini Brazil. Timu zote 32 tayari zimeshatangaza vikosi vyao kwa ajili ya michuano hiyo.
listi kamili hii hapa...

1613854_710679932328222_4444464783027608059_n
Katika vikosi vyote vya timu za taifa vilivyotajwa kwa ajili ya kombe la dunia Brazil 2014 – Klabu ya Bayern Munich ndio inaoongoza kwa kutoa wachezaji wengi – imetoa wachezaji 17 watakaowakilisha mataifa mbalimbali kwenye kombe la dunia.
Klabu ya Manchester United inashika nafasi ya pili baada ya Bayern na nafasi ya kwanza EPL kwa kutoa wachezaji wengi walioitwa kwenye timu za taifa zitakazoshiriki michuano ya kombe la dunia – UNITED imetoa wachezaji 16.
Chelsea ya England imeshika nafasi ya 3 kwa kutoa wachezaji 15, Napoli 14, Barcelona na Real Madrid wametoa wachezaji 13 kila timu, Juventus imetoa wachezaji 13.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks