Baada kupiga collabo na Mafikizolo, Diamond Platinumz amethibitishwa kuingia katika msimu wa pili wa Coke Studio Afrika, huku mrembo wa Kenya Victoria Kimani akitajwa pia kati ya wasanii waliothibitishwa mapema...>>>
Wasanii hao wawili ambao walikutana kwenye wimbo wa Prokoto, wataungana na wasanii wengine 20 wa Afrika ambao bado hawajafahamika.
Coke Studio Afrika ni kipindi cha television kinachoandaliwa na kampuni ya Coca-Cola na kuwapa nafasi wasanii wa Afrika kuimba Live nyimbo zao huku wakishirikiana katika kufanya nyimbo kadhaa.
Coke Studio Afrika inarushwa hapa Tanzania, Kenya, Uganda na Nigeria.
0 comments:
Post a Comment