Mchekeshaji Wa Uganda Anne Kansiime Apata Shavu Jingine Kubwa Kenya

Kansiime
Mchekeshaji mkali Anne Kansiime kutoka Uganda ambaye vichekesho vyake vinaoneshwa katika kituo cha runinga cha Kenya,  amechaguliwa kuwa balozi wa kampuni ya Old Mutual....>>>

Kampuni hiyo imemtangaza Kansiime kuwa balozi wao rasmi Jumanne wiki hii na kwamba watamtumia katika kampeni zao katika nchi nzima ya Kenya.
Kansiime anatarajiwa kuwa chachu ya kampeni ya kampuni hiyo inayolenga katika kutoa elimu na kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa bima na mipango ya kifedha.

Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks