Ifahamu Siku Ambayo Marcio Maximo Atatua Rasmi Yanga

marcio-maximoKocha mbrazil aliyewahi kuifundisha Taifa Stars kwa msaada wa rais wa Jakaya Kikwete, Marcio Maximo ataingia Jangwani kuinoa timu ya Yanga....>>>

Kwa mujibu wa gazeti la mwanaspoti Maximo aingia Dar es Salaam siku nne baada ya leo (Jumamosi).
Hivi sasa Maximo yuko Brazil akifanya kazi ya uchambuzi wa kombe la dunia katika television ya taifa ya Mexico na anamaliza mkataba wake Jumatatu.
Klabu ya Yanga imethibitisha safari ya Maximo kuja Tanzania na kwamba ameanza maandalizi tangu juzi.
Wakati Yanga wanamleta Maximo kukinoa kikosi chao, bado wapinzani wao wa jadi Simba wako kwenye mchakato wa uchaguzi ulipangwa kufanyika June 29.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks