Davido anazidi kufanya vizuri na kufuata nyayo za Wizkid ambaye hivi karibuni alirekodi ngoma mpya na Chris Brown na kusifiwa na Rihanna...>>>
Davido ambaye alishambuliwa siku kadhaa na baadhi ya haters baada ya kupost picha akiwa na Meek Mill na Jennifer Hudson kuwa amemuiga Wizkid, ameamua kuwaonesha kuwa haikuwa picha tu bali kazi imefanyika.
Davido ameeandika twitter kuwa amefanya kazi na rapper Meek Mill wa MMG na baadae akapost picha nyingine wakiwa pamoja.
0 comments:
Post a Comment