KUTANA NA KOCHA ANAYELIPWA PESA NYINGI KULIKO WOTE DUNIANI.LIST KAMILI IKO HAPA.

kapelooNikikuuliza kama kocha gani uliyewahi kuhisi analipwa pesa nyingi atakua nani pengine ungetaja wengine unaowafahamu lakini sasa unaambiwa kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza Fabio Capello ndiye anaongoza kwa kulipwa vizuri....>>>>


 Hii ni rekodi aliyoiweka na kuwa miongoni mwa makocha wote wa timu za taifa zinazoshiriki Kombe la Dunia mwaka huu nchini Brazil.Kocha wa timu ya taifa ya Uingereza, Roy Hodgson analipwa pauni Milioni 3.5 kwa mwaka.
 Cheki mtiririko wa malipo ya makocha hawa ulivyo.

 article-2654453-1EA52DB800000578-517_634x411
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks