Kukaa juu ya jarida la Vogue linaoangaiwa na watu wengi duniani kama jarida kubwa na maarufu zaidi ni sehemu ya mafanikio mengine ya mrembo wa Kenya, Lupita Nyong’o....>>>
Lupita amepata nafasi ya kukava jarida la Vogue linalotoka July na ndani amezungumzia mengi ikiwa ni pamoja na kukiri kuwa ana-date na rapper mwenye asili ya Solamalia, K’Naan
Hizi ni picha alizopiga kwa ajili ya jarida hilo:








0 comments:
Post a Comment