Kauli Ya Nelly Kuhusu Elimu Ya Floyd Mayweather Na Kwanini Hawaelewani.

Ugomvi Kati Ya Nelly Na Floyd Mayweather
Ugomvi Kati Ya Nelly Na Floyd Mayweather
Pamekuwa na ugomvi wa kutupia maneno kati ya msanii Nelly na bondia Floyd Mayweather baada ya wawili hawa kuchukuliana wanawake. Inasemekana Nelly alimtongoza mpenzi wa Floyd Mayweather na kuanza nae mahusiano kabla hajaachana na Floyd...>>>

Kwenye mahojiano na ESPN Rapper Nelly amesema “Hii stori imechukuliwa tofauti sana, Floyd ni mtu asiyependa kuambiwa hapana, Unajua ni ngumu kuongea na mtu ambaye hajamaliza shule ya Secondari” Flody anazidi kukasirishwa na kitendo cha Nelly cha kumchukua mpenzi wake baaday ya 50 Cent kumtania Mayweather kuwa Nelly kamchukua mpenzi wako
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks