Pamekuwa na ugomvi wa kutupia maneno kati ya msanii Nelly na bondia 
Floyd Mayweather baada ya wawili hawa kuchukuliana wanawake. Inasemekana
 Nelly alimtongoza mpenzi wa Floyd Mayweather na kuanza nae mahusiano 
kabla hajaachana na Floyd...>>>
Kwenye mahojiano na ESPN Rapper Nelly amesema
 “Hii stori imechukuliwa tofauti sana, Floyd ni mtu asiyependa kuambiwa 
hapana, Unajua ni ngumu kuongea na mtu ambaye hajamaliza shule ya 
Secondari” Flody anazidi kukasirishwa na kitendo cha Nelly cha 
kumchukua mpenzi wake baaday ya 50 Cent kumtania Mayweather kuwa Nelly 
kamchukua mpenzi wako
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
                            (
                            Atom
                            )
                          
 
 

0 comments:
Post a Comment