Hili ndilo toleo jipya la Bugatti thamani yake moja ni zaidi ya Tsh bilioni 5

b1
Bugatti moja ya magari yenye gharama kubwa sana duniani ambayo mara nyingi humulikiwa na watu wenye kipato kikubwa tu. Kampuni inayotengeneza magari hayo imetoa matoleo matatu ya lengend edition na hii ya sasa hivi ni ndiyo ya mwisho kwenye edition hii.>>>>

Toleo hili la tatu yatatengenezwa magari matatu tu ambayo kila mmoja litauzwa kwa $3.14 million. Hizi ni picha za gari hilo
b2
b3
b4
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks