Kenya hatarini kukumbwa na Ebola


Shirika la Afya Duniani (WHO) limeiweka Kenya katika “hatari ya juu” kama taifa litakalosambaa virusi vinavyoua vya Ebola.
Kenya iko hatarini kwa sababu ni moja ya kitovu kikubwa cha usafiri, ndege nyingi hutoka Afrika Magharibi, alisema afisa wa Shirika la Afya...>>>>

Hili ni moja ya onyo makini lililotolewa na WHO kwamba Ebola inaweza kusambaa Afrika Mashariki.
Wataalamu wa afya wanapambana kuzuia mlipuko Afrika Magharibi, ambao umeshaua zaidi ya watu 1,000.
Canada imesema itatoa msaada wa dozi 1,000 wa majaribio ya kinga dhidi ya Ebola ili kusaidia mapambano dhidi ya mlipuko huo.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks