Hiki ndiko kikosi bora cha mwaka Ligi Kuu Uingereza

Kikosi bora cha Ligi Kuu Uingereza cha muda wote mwaka huu
Kikosi bora cha Ligi Kuu Uingereza cha muda wote mwaka huu
Ligi Kuu ya Uingereza imetoa kikosi bora kuwahi kutokea katika ligi hiyo mashuhuri duniani.
Kikosi hicho hupigiwa kura na wachezaji ambapo Sportsmail ilifanya utafiti kujua ni kikosi gani cha mwaka cha PFA kinapendwa zaidi. Mtindo ulinza msimu 1992/93.
Sportsmail ilifanya uchunguzi huo kujua ni kikosi gani bora kupitia kura zilizopigwa na wachezaji wenzao ambcho kitakuwa cha 24.
Steven Gerrard anaongoza kwa kuchaguliwa kwa mara ya saba.
Matokeo ya utafiti huo yalitoa kikosi chenye wachezaji wafuatao;
Mlinda mlango: Edwin Van Der Sar
Walinzi: Gary Neville, Ashley Cole, Rio Ferdinand na Nemanja Vidic
Viungo: Patrick Vieira, Steven Gerrard, Cristiano Ronaldo na Ryan Giggs
Washambuliaji: Thierry Henry na Alan Shearer.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks