Mpya: Rubani wa Germanwings aliiangusha ndege makusudi


Muuaji Lubitz akimaliza mbio nusu mwaka 2013
Muuaji Lubitz akimaliza mbio nusu mwaka 2013
Rubani Andreas Lubitz huenda amekuwa akisumbuliwa na matatizo binafsi wakati wa ajali ya ndege ya Germanwings, ilidaiwa usiku uliopita.
Taarifa kutoka Ujerumani zilidai kuwa kijana huyo 28 alikuwa akijaribu kukubaliana na hali baada mahusiano yake kuvunjika wakati alipoigongesha makusudi ndege ya A320 kwenye mlima, na kuua abiria 149.
Dakika 13 za uharibifu uliofanywa na rubani huyo na kusababisha kuanguka kwa ndege hiyo
Dakika 13 za ugaidi uliofanywa na rubani huyo na kusababisha kuanguka kwa ndege hiyo
Hali hiyo ilijulikana masaa kadhaa baada ya polisi kuchunguza ajali hiyo iliyotangazwa na kudai wamepata uchunguzi makini uliochukua saa nne kwa kuchunguza nyumba ya Lubitz, aliyokuwa akiishi na mpenzi wake.
Maafisa hao walikataa kuvujisha taarifa hizo muhimu bali walilisitiza haikuwa taarifa ya kujiua kwa makusudi
Mabaki ya ndege: Timu zikifanya uchunguzi kupata mali na miili ya watu waliokuwepo kwenye ndege hiyo
Mabaki ya ndege: Timu zikifanya uchunguzi kupata mali na miili ya watu waliokuwepo kwenye ndege hiyo
Jana, bosi wa Lubitz alikubali kuwa kama angelijua hilo asingemruhusu kurusha ndege.
Pia Iligunduliwa kuwa mpenda mazoezi huyo alikuwa na msongo wa mawazo ambao ulimuandama hadi kwenye kazi yake.
Baadhi ya wapelelezi wakiingia katika nyumba ya Lupitz
Baadhi ya wapelelezi wakiingia katika nyumba ya Lupitz
Lakini, cha kushangaza, alipita vipimo yote ya akili na kuruhusiwa kurusha ndege.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks