Falcao amtumia ujumbe Louis van Gaal

Radamel Falcao akifunga goli la kwanza dhidi ya Bahrain
Radamel Falcao akifunga goli la kwanza dhidi ya Bahrain
Mkalia benchi wa Manchester United Radamel Falcao alituma ujumbe kwa Louis van Gaal kwa kufunga magoli mawili wakati Colombia ikicheza mechi ya kirafiki na Bahrain Alhamisi usiku.
Falcao alifunga magoli mawili kwa Colombia, goli la pili na la tatu katika ushindi wa kishindo wa 6-0 dhidi ya timu inayoshika nafasi 103 duniani kwenye Uwanja wa Taifa wa Bahrain.
Akishangilia goli lake la pili
Akishangilia goli lake la pili
Mbali na hivyo, Falcao alikuwa msaada kwa mshabuliaji mwenzake Carlos Bacca akifunga dakika ya 14 baada ya Juan Cuadrado wa Chelsea kugongesha mwamba.
Radamel Falcao akiwa na kocha wake Louis van Gaal
Radamel Falcao akizungumza jambo na kocha wake Louis van Gaal
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks