Picha: Mastaa waliokosa kupiga kura Nigeria


Davido aliondoka kwenda Kenya
Davido aliondoka kwenda Kenya
Watu maarufu wengi wa Nigeria na nyota wa sanaa wamekuwa kimya kuelezea kuhusu uchaguzi huru na wa usawa wakati wengine walipigia kampeni wagombea wanaowataka.
P Square walikuwa pamoja na Flavour jijini London
P Square walikuwa pamoja na Flavour jijini London
Cha kusikitisha sio nyota wote waliamua kupiga kura kwa mgombea yeyote kwani wengi wao wapo nje ya nchi kwenye matamasha sehemu mbalimbali duniani.
Mastaa wengine waliokosa uchaguzi.
Flavor alikuwa na tamasha London, akisindikizwa na Tiwa Savage
Flavor alikuwa na tamasha London, akisindikizwa na Tiwa Savage
Funke Akindele alikuwa London
Funke Akindele alikuwa London
Ruggedman alikuwa na matamasha mbalimbali China
Ruggedman alikuwa na matamasha mbalimbali China
Dj Cuppy aliondoka Nigeria kwenda Kenya
Dj Cuppy aliondoka Nigeria kwenda Kenya
Maheeda, malkia wa picha za uchi alikuwa Australia
Maheeda, malkia wa picha za uchi alikuwa Australia
Dj Spinall alikuwa ziarani Marekani
Dj Spinall alikuwa ziarani Marekani
Ice Prince alikuwa Houston, Marekani
Ice Prince alikuwa Houston, Marekani
Wizkid alikuwa Dubai
Wizkid alikuwa Dubai
Je, mastaa wa bongo nao watakosa uchaguzi Oktoba 2015?
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks