Angel Di Maria akiwa na mkewe Jorgelina
Nyumba
ya kifarahari ya kiungo wa Manchester United Angel Di Maria limewekwa
sokoni baada ya kuvamiwa na majambazi wakati nyota huyo akila chakula
cha jioni yeye na familia yake
Majambazi
hao walidaiwa kuingia kwa kuvunja mlango wa nyumba hiyo wakati mke na
mtoto wa Di Maria wakiwa ndani katika kitongoji cha Cheshire jijini
Manchester
Bwawa la kuogelea nje likiwa limepambwa kwa bustani kwa nje
Jakuzi la ndani ya hekalu hilo
Nyumba hiyo inauzwa pauni milioni 4.1
Bafu
Chumba cha kulala
Cheshire ndicho kitongoji maarufu kwa kuishi wachezaji wa soka
Mke wa Di Maria na mtoto wao Baby Mia
Raia
huyo wa Argentina alikuwa akila chakula cha jioni yeye, mkewe na mtoto
wao ndipo majambazi walipojaribu kuvunja na kutaka kuiba mwezi uliopita
I Run And Own Nellychazy.blogspot.com.
Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting.
Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
0 comments:
Post a Comment