Ander Herrera ajihusisha na uchawi


Ander Herrera anatumia majina mawili kwa sababu za uchawi
Ander Herrera anatumia majina mawili kwa sababu za uchawi
Ander Herrera amesema anatumia majina yote kwenye fulana yake kwa ajili ya uchawi kufuatia mafanikio yake Atletico Bilbao.
Katika video fupi ya maswali na majibu ya klabu kwenye ukurasa wa Facebook siku ya Jumanne asubuhi, kiungo wa Manchester United alidhihirisha kuwa anavaa majina mawili kwa ajili ya kiwango chake kilichomfanya ahamie kwa magwiji wa Uingereza msimu uliopita.
Kiungo wa Man U ameeleza sababu za mafanikio yake akiwa Atletico Bilbao
Kiungo wa Man U ameeleza sababu za mafanikio yake akiwa Atletico Bilbao
Herrera alijiunga na Red Devils kwa ada ya pauni milioni 29 kutokana na mafanikio yake ya miaka mitatu Bilbao ambapo alifika fainali za Copa de Rey na Ligi ya Ulaya katika msimu wa kwanza 2011/12.
Ander Herrera alifika fainali za Copa del Rey na Ligi ya Ulaya msimu wa kwanza Bilbao 2011/12
Ander Herrera alifika fainali za Copa del Rey na Ligi ya Ulaya msimu wa kwanza Bilbao 2011/12
Mimi ni mchawi. Nilianza kutumia Ander Herrera kutoka Athletic Bilbao miaka mitatu iliyopita na nafikiri nilikuwa na miaka mitatu mizuri Bilbao hivyo nilitaka kutumia jina hilo. Alijibu swali la mshabiki huyo.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks