Mlipuko wa tokea kwenye kambi ya jeshi


jos nigeria
Taarifa kutoka Nigeria  zinataarifu kuwa umetokea mlipuko wa bomu kwenye kambi ya jeshi la Nigeria jimboni Plateau ambapo shuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa idadi ya majeruhi bado haijajulikana.
Miezi ya hivi karibuni jimbo la plateau limekuwa likiandamwa na matukio ya kushambuliwa kwa mabomu,ikumbukwe kwamba mwezi wa pili mwaka huu ulitokea mlipuko kwenye kituo cha mabasi ambapo watu 13 waliuawa na wengine 14 kujeruhiwa.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks