Raheem Sterling si mpenda pesa Liverpool


Raheem Sterling amekataa kuzungumzia mkataba mpya na Liverpool hadi msimu wa jua
Raheem Sterling amekataa kuzungumzia mkataba mpya na Liverpool hadi msimu wa jua
Raheem Sterling ameiamba BBC Sport kuwa si “kijana (20) mpenda-fedha” baada ya kuthibitisha kukataa mkataba wa pauni 100,000 kwa wiki Liverpool.
Pia anasema hatajadili mkataba mpya na Reds mpaka msimu wa jua, bila kujali mkataba ni mkubwa kiasi gani ambao atapewa kwa wakati huo.
“Sio kuhusu pesa kabisa,” alisema mshambuliaji wa Uingereza.
Sterling amekataa mkataba wa pauni 100,000 kwa juma Liverpool, kwa sasa analipwa pauni 35,000
Sterling amekataa mkataba wa pauni 100,000 kwa juma Liverpool, kwa sasa analipwa pauni 35,000
“Haijawahi kuhusu fedha. Nazungumzia kushinda mataji kwenye maisha yangu. Hich ndicho ninachozungumzia.”
Aliongeza: “Sizungumzii ni magari mangapi nitakwenda kuendesha, nyumba ngapi nilizonazo. Nataka kuwa bora nitakavyoweza kuwa.”
Sterlinga amekuwa akivutiwa na  Real Madrid, Bayern Munich, Manchester City na Arsenal
Sterlinga amekuwa akivutiwa na Real Madrid, Bayern Munich, Manchester City na Arsenal
Sterling alijiunga Reds kutoka QPR mwaka 2010, hakuwa mchezaji wa timu ya kwanza mpaka msimu uliofuata.
“Sitaki nieleweka kama kijana mpenda fedha,” alisema mchezaji huyo, ambaye amebakisha miaka miwili katika mkataba wake wenye thamani ya pauni 35,000 kwa juma.
Brendan Rodgers anapaswa kumshawishi Sterling ili asaini na kuendelea kuichezea Liverpool
Brendan Rodgers anapaswa kumshawishi Sterling ili asaini na kuendelea kuichezea Liverpool
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks