Wenger, Giroud watisha England


Olivier Giroud na Arsene Wenger

Kocha Arsene Wenger ametwaa tuzo ya Meneja bora wa Mwezi Machi katika Ligi Kuu ya England huku mshambuliaji wake Olivier Giroud naye akitwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi huo.

Tuzo hiyo ni ya 14 kuitwaa akiwa na Arsenal katika EPL tangu alipotua mwaka 1996.

Rekodi zinaonyesha Kocha wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson ametwaa tuzo hiyo mara 27 hadi kustaafu kwake kuinoa klabu hiyo.

Makocha 8 waliotwaa tuzo hiyo
Sir Alex Ferguson    27        Man United
Arsène Wenger        14        Arsenal         
David Moyes             10        Everton         
Harry Redknapp       8          Portsmouth, Tottenham na  Southampton      
Martin O'Neill          8          Leicester, Aston Villa na Sunderland     
Bobby Robson          6          Newcastle     
Rafael Benítez          6          Liverpool      
Sam Allardyce          6          Bolton na West Ham
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks