Picha: Neymar Jr akimalizia likizo yake katika fukwe za Ibiza

Neymar Jr (Kushoto) akiwa katika kumbi za starehe zilizopo katika ufukwe wa Ibiza
Neymar Jr (Kushoto) akiwa katika kumbi za starehe zilizopo katika ufukwe wa Ibiza,Hispania.
Mara baada ya kupata mafanikio makubwa msimu uliopita wa 2014/15 na klabu yake ya Barcelona kwa kubeba makombe matatu makubwa,Neymar Jr, 23,kwasasa yupo katika fukwe za Ibiza akimalizia likizo yake,
kabla ya kujumuika na kikosi chake siku ya Alhamisi kwa ajili ya maandalizi ya Msimu mpya.
Neymar Jr alionekana akila ‘bata’ na ndugu pamoja na marafiki wakaribu wakiwa katika boti (Yacht) ya kifahari.
Neymar Jr alionekana akila ‘bata’ na ndugu pamoja na marafiki wakaribu wakiwa katika boti (Yacht) ya kifahari.
Neymar Jr, alipewa likizo ndefu na Kocha Luis Enrique wa klabu yao ambayo kwasasa ipo nchini Marekani kujifua na msimu mpya
dq3kutokana na kushiriki michuano na Copa America akiwa na timu yake ya Taifa ya Brazil iliyomalizika mwanzoni mwa mwezi Julai.
dq1

 print
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks