Hivi ndio vitita vya pesa vilivyotumiwa na vilabu vya Chelsea na Arsenal katika Usajili

Matumizi ya vilabu vitano bora katika EPL tangu ujio wa mara ya pili wa Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho.
Matumizi ya vilabu vitano bora katika EPL tangu ujio wa mara ya pili wa Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho.
Baada ya kocha wa Chelsea Jose Mourinho kumesema kwamba, kocha wa Arsenal Arsene Wenger anahitaji kupewa kalukuleta linapokuja suala la kufananisha kati ya Arsenal na Chelsea.
aaa
Matumizi ya klabu ya Arsenal katika usajili ndani ya misimu mitano
Mwanzoni kabisa Wenger alisema “isingewezekana” kwa Arsenal kushinda taji la ligi kuu kwa miaka kadhaa iliyopita, kitu ambacho Mourinho amekipinga.
Matumizi ya Klabu ya Chelsea katika usajili ndani ya misimu mitano
Jumla ya matumizi na mapato ya Klabu ya Chelsea katika biashara ya kuuza na kununua wachezaji ndani ya misimu mitano
Mourinho aliiwezesha Chelsea kutwaa taji la EPL msimu wa 2014-15 na kuelekea msimu mpya wa ligi, anasema kwamba, kauli ya Wenger imejaa uongo mtupu.
Kwa mujibu wa Bank Kuu ya Tanzania (BOT) leo tarehe 29 Julai 2015, pauni moja ya Uingereza ni sawa na Tsh 3120.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks