Baada ya Wema kudaiwa kumfanyia Diamond fujo studio, leo kaweka hii picha na kuyaandika haya

Screen Shot 2014-03-15 at 11.55.14 AM
Kupitia You heard ya XXL Clouds FM March 14 2014 zilitoka stori kwamba Wema Sepetu amekwenda na kumfanyia fujo Diamond Platnumz studio.

Hiyo ilitokana na kuona video ya Diamond akiwa na Victoria Kimani studio, msichana ambae amewahi kutajwa kuwa mapenzini nae.
Baada ya yaliyotokea jana, Wema ameandika haya maneno hapa chini baada ya kuweka hiyo picha hapo juu
Screen Shot 2014-03-15 at 11.55.32 AM
POWERED BY MILLARDAYO
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks