Big Brother Africa 2014, Tarehe ya Usaili Dar Hii Hapa

Feza Kessy, Muwakilishi wa Tanzania BBA 2013
Feza Kessy, Muwakilishi wa Tanzania BBA 2013
Mchakato wa kuwapa washiriki wa shindano la Big Brother Africa 2014 umetangazwa kuanza rasmi mwaka huu...>>>
MultiChoice Africa ambao ndio waandaaji wa shindano hilo wameetangaza tarehe ya usaili katika nchi mbalimbali, Tanzania usaili utafanyika Jijini Dar es Salaam (New Africa Hotel) tarehe July 11 na July 12, 2014.
Mwaka huu, nchi ya Rwanda imepata nafasi ya kupeleka mshiriki kushindania kitita cha $300,000.
Nchi zitakazoshiriki mwaka huu ni Zimbwabwe, Zambia, Tanzania, Uganda, Afrika Kusini, Sierra Leone, Rwanda, Nigeria, Namibia, Malawi, Kenya, Ghana, Ethiopia na Botswana.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks