Picha: P Square Wakutana Na Ndugu Wa Micheal Jackson

Ndugu wa mfalme wa pop Micheal Jackson, Jermaine Jackson ambaye kwa sasa imeripotiwa kuwa yupo Nigeria kwa mualiko aliopewa na wasanii wa kubwa Africa P Square.
p-2
Jermaine yupo Nigeria kuongelea kufanya kazi na P Square kwenye album yao ya sita ambayo tayari nyimbo kama Testimony na zingine chache ambazo zimesharekodiwa huku tukitegemea rapper T.I Kuwepo kwenye nyimbo moja. Jermaine atahusika kwenye production na atashirikishwa kwenye baadhi ya nyimbo hizo.,,>>>

p-3
p-4
p-5
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks