Chris Brown na Trey Songz watangaza kufanya tour ya pamoja

Trey Songz_full
wakali wa R&B Chris Brown na Trey Songz ambao kwa sasa ni washikaji mwaka huu wameamua kufanya biashara ya pamoja.
Wasanii hao wametangaza kupitia Instagram kwa kupost videos wakiwaeleza mashabiki kuwa ..>>
wameamua kufanya tour ya pamoja Wasanii hao wamewataka mashabiki wawasaidie kupata jina la tour hiyo ambayo bado haijapata ratiba rasmi.
Trey Songz_full
“THIS FALL is gonna be legendary! Get ready for me and @TreySongz Tour!!!!!!” Ametweet Chris Brown.
Mara ya mwisho wakali hao waliimba pamoja katika jukwaa la tuzo za BET, June mwaka huu wakiwa na August Alsina
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks