Glavu za Muhammad Ali na Sonny Liston zapigwa mnada billion.......!!


Glavu za ngumi zilizovaliwa na Muhammad Ali na Sony Liston kwenye pambano lao la marudiano maarufu la uzito wa juu mwaka 1965 zimezoa pauni 622,000 (Bil 1.7)
Glavu za ngumi zilizovaliwa na Muhammad Ali na Sony Liston kwenye pambano lao la marudiano maarufu la uzito wa juu mwaka 1965 zimezoa pauni 622,000 (Bil 1.7)
Glavu za ngumi zilizovaliwa na Muhammad Ali na Sony Liston kwenye pambano lao la marudiano maarufu la uzito wa juu mwaka 1965 zimezoa pauni 622,000 (bil. 1.7) kufuatia mnada uliofanyika New York siku ya Jumamosi.
Kampuni ya mnada ya Herritage Auctions yenye maskani yake mjini Dallas, ambao walishikilia mauzo hayo, walisema glavu hizo zilinunuliwa na mnunuzi ambaye hakutaka kufahamika.
Muhammad Ali alimtandika Sonny Liston kwa kumuangusha kwenye raundi ya kwanza
Muhammad Ali alimtandika Sonny Liston kwa kumuangusha chini kwenye raundi ya kwanza
Pambano hilo ambalo alishinda Muhammad Ali kwenye raundi ya kwanza kwa kumuangusha chini Sonny Liston lilifanyika katika mji wa Lewiston Maine Mei 25 1965, na hivi karibuni litatimiza miaka 50, litakumbukwa daima kama “ngumi nene” (phanton punch).
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks