Kila mmoja katika ulimwengu wa ndondi anasubiri kumuona Floyd Mayweather akizipiga na Manny Pacquiao.
Baadhi ya watu wamedai kuwa tiketi hizo zitakuwa kama mchanga wa dhahabu lakini aghali.
Mashabiki wengi wa ngumi kutoka miji mbalimbali wamekuwa wakipiga simu kuulizia tiketi huku kuna tetesi kuhusu hili.
Baadhi ya watu wanasema tiketi zitauzwa hadi pauni 100,000 (Mil. 280). Na kuna tetesi nyingine kuwa hakuna tiketi zitakazouzwa hadharani.
Bei hiyo ya tiketi unaweza kununua gari aina ya Mark X.
0 comments:
Post a Comment