Kiongozi mkuu wa kundi la waasi atiwa mbaroni
Ousmane Mahamat Ousmane, ambaye ni naibu kiongozi wa vuguvugu la waasi wa zamani wa Seleka ambao walibadili jina na kuitwa FPRC, alikamatwa mwishoni mwa juma lililopita baada ya kuiingia na kikosi cha walinzi wake katika uwanja wa ndege wa Bangui.
Waasi wa FPRC wameomba kiongozi huyo aachiliwe huru mara moja ili aweze kushiriki katika mkutano wamaridhiano mjini Bangui.
Kiongozi huyo wa kundi la zamani la waasi la Seleka, alikamwata wakati akija uwanja wa ndege kumpokea mke wake kwenye uwanja wa ndege wa Bangui.
0 comments:
Post a Comment