Kiongozi mkuu wa kundi la waasi atiwa mbaroni

Kiongozi mkuu wa kundi la seleka Ousmane Mahamat Ousmane
Kiongozi mkuu wa kundi la seleka Ousmane Mahamat Ousmane
Kiongozi wa zamani wa kundi la waasi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati Ousmane Mahamat amekamatwa.
Ousmane Mahamat Ousmane, ambaye ni naibu kiongozi wa vuguvugu la waasi wa zamani wa Seleka ambao walibadili jina na kuitwa FPRC, alikamatwa mwishoni mwa juma lililopita baada ya kuiingia na kikosi cha walinzi wake katika uwanja wa ndege wa Bangui.
Waasi wa FPRC wameomba kiongozi huyo aachiliwe huru mara moja ili aweze kushiriki katika mkutano  wamaridhiano mjini Bangui.
Kiongozi huyo wa kundi la zamani la waasi la Seleka, alikamwata wakati akija uwanja wa ndege kumpokea mke wake kwenye uwanja wa ndege wa Bangui.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks