Ufisadi mwingine wa mabilioni wagundulika Wizara ya Ujenzi

Ufisadi umeendelea kushamiri katika sekta za umma Tanzania
Ufisadi umeendelea kushamiri katika sekta za umma Tanzania
Ufisadi mwingine wa zaidi ya Sh252 bilioni umeibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad ndani ya Wizara ya Ujenzi.
Ukaguzi maalumu uliofanywa na ofisi ya (CAG) katika kipindi cha mwaka wa fedha 2010/11 na 2011/12 umebaini kuwa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, bungeni Novemba 2013 kuwa fedha hizo zilitumika kwa miradi ya ujenzi wa barabara, haikuwa sahihi.
Kutokana na ufisadi huo, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amependekeza hatua stahiki zichukuliwe kwa wahusika wa Wizara ya Ujenzi na wakala wa barabara ili kuleta imani na uwazi kwa jamii na wahisani kuhusu bajeti ya nchi.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks