Mdogo wa Jose Chameleone, AK47 afariki dunia


Taarifa kutoka nchini Uganda zinasema kuwa mwanamuziki wa Dancehall nchini Uganda anayefahamika kwa jina la AK47amefariki dunia usiku wa leo baada ya kuanguka akiwa bafuni anaoga.
10922595_1173528932661523_8704527008686570657_n
Taarifa zinadai kuwa AK47 amefariki saa 5.30 usiku ya tarehe 16, Machi, 2015 baada ya kukimbizwa katika hospitali ya Nsambya jijini Kampala ambapo taarifa za madaktari zinadai kuwa damu nyingi ilivujia ndani baada ya kuangukia sehemu ya nyuma ya kichwa chake.
11061712_1173768635970886_360185370648682234_n
AK47 ni kaka wa wanamuziki watatu nchini humo ambao ni Jose Chameleone, Weasel na Pallaso kutoka familia ya Gerald Mayanja na Prossy Musoke.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks