Mabingwa watetezi Real Madrid watakabiliana na mahasimu wao Atletico Madrid katika robo fainali – timu waliyoifunga kwenye fainali msimu uliopita kwenye Ligi ya Mabingwa.
Los Blancos walihitaji muda wa ziada kukifunga kikosi cha Diego Simone mwezi Mei lakini kikosi cha Madrid kitakabilinana nao tena mwezi ujao.
Kwingineko, Barcelona itaivaa Paris St-Germain, Porto watawavaa Bayern Munich na Juventus (Vibibi vya Turin) watakutana na Monaco.
Timu hizo zikishangilia mechi zao zilizopita;
0 comments:
Post a Comment