Julio aiponda Coastal Union


Kikosi cha Coastal Union
Kikosi cha Coastal Union
Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameponda kiwango cha wachezaji wa Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ katika mchezo walionyukwa mabao 8-0 na Yanga.
Kocha huyo alisema kutokana na Coastal kucheza chini ya kiwango Yanga ingekuwa makini ingeshinda mabao 10.
Akizungumza Dar es Salaam, kocha huyo machachari alisema ingekuwa Simba ingepata ushindi mnono wa zaidi ya mabao manane iliyopata Yanga.
Julio aliyewahi kuichezea Simba miaka ya nyuma alisema Yanga ilicheza soka ya kawaida sana.
“Yanga walicheza kiwango cha kawaida, ingekuwa Simba tungefungwa zaidi ya 10,” alisema Julio.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks