Mpinzani wa rais wa Syria auawa

Imama Abdul Hadi Arwani aliyeuawa na watu ambao hawajafahamika
Imama Abdul Hadi Arwani aliyeuawa na watu ambao hawajafahamika
Abdul Hadi Arwani, aliekuwa imam wa msikiti wa An-Noor  wa jijini London amekutwa kwenye gari lake aina ya Volkswgen akiwa amepoteza maisha.
Abdul Hadi Arwani aliuawa na watu ambao hawajafahamika hadi sasa.
Imam huyo alifahamika kwa kutoa hotuba zake dhidi ya serekali ya Bashar al- Assad.
Polisi nchini Uingereza imesema kuwa imeanzisha uchunguzi kuhusiana na mauaji hayo.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks