Arsene Wenger awabania Manchester City

Kocha wa timu ya Arsene Wenger akiongea na waandishi wa habari
Kocha wa timu ya Arsene Wenger akiongea na waandishi wa habari
Kocha wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amesema kuwa kiungo wake wa kati Jack Wilshere hauzwi, hiyo imekuja baada ya kuona matajiri wa jiji la manchester wanamnyatia kwa karibu.
Imeonekana kwa siku za hivi karibuni Manchester city  inawahitaji wachezaji wenye vipaji  ambao ni raia wa Uingereza.
Mchezaji mwingine anayewindwa na matajiri hao ni nahodha msaidizi wa klabu ya Liverpool Jordan Henderson ambaye ameonekana kuwa na kiwango kizuri msimu huu.
Hata hivyo Arsene Wenger ameongeza kuwa ana haraka ya kumuuza mchezaji yeyote ambaye ni zao la academy yake.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks