Diamond amtupia lawama Halima Mdee

Diamond Platnumz akiongea na watangazaji wa Clouds Tv
Diamond Platnumz akiongea na watangazaji wa Clouds Tv
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz amemtupia lawama mbunge wa jimbo la Kawe Halima mdee kwa kushindwa kukarabati barabara inayoelekea madale.
Diamond amesema hivyo wakati akiongea na watangazaji wa kituo cha Clouds tv leo asubuhi.
Pia amewaomba viongozi wote nchini kudumisha amani wakati tukielekea kwenye kipindi cha uchaguzi mkuu wa rais ambao utafanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks