Haya ndiyo maneno ya Dr Slaa mara baada ya Lowassa kujiunga rasmi na Chadema

Tundu-Lissu-na-Dr-Slaa-620x360
“Bora nikae bila chama kuliko kukaa chama kimoja na Lowassa” Haya ni maneno yaliyosemwa na Dr Slaa mara baada ya Lowassa kutangaza rasmi kujiunga na Chadema hapo jana.
Taarifa tuliyoipata ni kwamba kiongozi huyo amekataa kukubaliana na maamuzi ya Viongozi wenzake juu ya ujio wa Lowassa ndani ya chama hicho.
Katika hatua nyingine viongozi wengine wakuu wa chama hicho wemeungana na Dr Slaa kupinga ujio huo
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks