Waziri mkuu Sumaye atimkia Chadema (Ukawa)

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa miaka 10 (1995 - 2005) akifanya kazi na Rais Mkapa,mhe Fredrick Sumaye ametangaza rasmi kujiunga na chama cha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa miaka 10 (1995 – 2005) akifanya kazi na Rais Mkapa,mhe Fredrick Sumaye ametangaza rasmi kujiunga na chama cha Chadema (Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)
Waziri mkuu wa zamani Frederick Tluway Sumaye ametangaza rasmi kuhamia CHADEMA (Ukawa) leo asubuhi.
Sumaye, 65, aliwahi kuwa waziri mkuu wa Tanzania kuanzia Novemba 28, 1995 hadi Desemba, 30, 2005 wakati wa uongozi wa rais wa amamu ya tatu Mheshimiwa Benjamin William Mkapa.
Msomi huyo wa Harvard amesema kuwa anajiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ili kuimarisha upinzani.
Frederick Sumaye anakuwa kiongozi wa pili wa juu kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM) kuhamia Chadema (Ukawa) baada ya Edward Lowassa ambaye alikihama chama hiko mapema mwezi Agosti na kuteuliwa kugombea urais kupitia chama hiko katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, 25, mwaka huu.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks