Good news ni kwamba Frank Ribery hatakuwa katika kikosi kitakacho kutana na Arsenal

364759_heroa

Taarifa kutoka kwenye mtandao rasmi wa Bayern inasomeka: “Vipimo alivyofanyiwa siku ya jumatatu, vimeonyesha kwamba Ribery amepata majeruhi ya uvimbe, ambayo baada ya kufanyiwa upasuaji siku ya Alhamisi umeondolewa wote.
“Baada ya kupona jeraha hilo, Ribery ataanza mazoezi mepesi na wiki moja baadae atarudi kwenye mazoezi ya timu.
“Hili linamaanisha atakosa mechi kadhaa ijayo ya klabu ukiwemo mchezo dhidi ya Arsenal katika hatua ya 16 bora ya UCL.”
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks