Baada Ya Usajili Wa Luis Suarez Hii Orodha Ya Wachezaji Sita Waliohamishwa Kwa Ada Ya Juu Zaidi,

Baada ya rekodi ya uhamisho wa £65milion kutoka Liverpool kwenda Barcelona mshambuliaji Luis Suarez ameingia rasmi kwenye orodha ya wachezaji waliosajiliwa kwa pesa ndefu zaidi...>>

Usajili wa Luis Suarez umeigharimu FC Barcelona kiasi cha £65milion na hii ni mara ya kwanza kwa Liverpool kuuza mchezaji kwa pesa nyingi hivi na ameingia kwenye orodha yenye wachezaji kama Gareth Bale, Cristiano Ronaldo na Neymar wa Brazil.
Suarez hataweza kuichezea Barcelona mpaka atakapo maliza adhabu yake ambayo amefungiwa mechi 8 za kimataifa na kutojihusisha na soka kwa miezi minne.
t 2
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks