Kombe la Dunia la mwaka 2022 nchini Qatar linapaswa kufanyika Novemba na Disemba, kikosi kazi cha Fifa kimependeza.
Maafisa muhimuu wa soka walikutana jijini Doha kujadili idadi ya mapendekezo kufuatia hofu ya msimu wa kiangazi kuhatarisha afya ya wachezaji na mashabiki.
Hali ya joto kwenye msimu wa jua nchini Qatar huzidi nyuzi joto 40 ilhali Novemba na Disemba hushuka mpaka nyuzi joto 25.
Mapendekezo ya leo yanatarajiwa kutathminiwa na kamati kuu ya Fifa mjini Zurich Machi 19 na 20.
0 comments:
Post a Comment