Wiz Khalifa ametumia twitter kumtupia lawama mama wa mtoto wake Amber Rose kwa kitendo cha kutokumpa nafasi ya kumuona mtoto wao katika sherehe yake ya siku ya kuzaliwa.
Amber Rose ambaye kwa sasa anamifarakano na familia ya The Kardashians amekuwa akitumia muda wake mwingi kugombana na watu wa familia hiyo kwenye mitandao kuliko kuwa karibu na mwanae.
Wiz Khalifa anampango wa kurudi mahakamani kutaka haki zote za malezi ya mtoto wake ziwe kwake na sio Kwa Amber Tena.
0 comments:
Post a Comment