Sara Bahayi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 38 na hajaolewa anafanya kazi ya kuendesha tax mjini Kabul Afghanistan.
Sara amesema kuwa ana amini ni yeye peke yake anayefanya kazi hiyo katika taifa hilo ambalo wanawake walipigwa marufuku na wanamgambo wa Taliban kuendesha gari, kuvaa nguo ambazo hazijastili mwili pamoja na kuvaa suruali.
0 comments:
Post a Comment