Matumla amkalisha Mchina

Mudy Matumla akijitahidi kumbana vyema mpinzani wake
Mohamed Matumla akijitahidi kumbana vyema mpinzani wake
Bondia Mohamed Matumla amefanikiwa kutoka kimasomaso baada ya kumchapa kwa points bondia mwenzake kutoka nchini China Wang Xin Hua katika mpambano wa raundi 10 uliofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jana usiku.
Mpambano huo ulikuwa ni wakuwania nafasi ya kucheza katika pambano la utangulizi kwenye mpambano mkali na unaosubiriwa kwa hamu na wapenzi wengi wa masumbwi duniani kati ya mabondia Floyd Mayweather, Jr. na Manny Pacquiao unakaochezwa mapema Mei 2, mwaka huu, huko Las Vegas, Marekani.
Share on Google Plus

About nellychazzy

I Run And Own Nellychazy.blogspot.com. Working With Web Editing, Blogs Template Fix And Editing (HTML). Monitoring click4hosting.net Deals with Web hosting. Also Base On Software And Hardware, Phones,Computer
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

Blogger Tricks